Rais Trump awasilisha mpango wa amani wa Mashariki ya kati
Thursday, January 30, 2020
Rais Trump amewasilisha mpango wa amani wa Mashariki ya kati na kuonya kwamba huenda ikawa ni fursa ya mwisho kwa Palestina kujipatia uhuru wake.
Chini ya mapendekezo yake, Jerusalem itasalia kuwa mji mkuu bila kutengwa na Israel, pamoja na kuhakikishia usalama wake.
Bwana Trump amesema mpango wake utasaidia kuundwa kwa mpaka wa pamoja na Palestina na kupata usaidizi wa kifedha iwapo watatimiza makubaliano yatakayofikiwa.
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas ametupilia mbali mipango iliyopendekezwa na kusema hiyo ni njama tu.
Chini ya mapendekezo yake, Jerusalem itasalia kuwa mji mkuu bila kutengwa na Israel, pamoja na kuhakikishia usalama wake.
Bwana Trump amesema mpango wake utasaidia kuundwa kwa mpaka wa pamoja na Palestina na kupata usaidizi wa kifedha iwapo watatimiza makubaliano yatakayofikiwa.
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas ametupilia mbali mipango iliyopendekezwa na kusema hiyo ni njama tu.


0Comments
Post a Comment