Back to Top

Matokeo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo

 Wednesday, January 29, 2020   

 Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea leo kwa mchezo wa mapema majira ya saa kumi jioni katika ya Polisi Tanzania dhidi ya Tanzania Prisons kwenye uwanja wa Ushirika.

Ambapo Ligi hiyo itaendelea baadaye majira ya saa moja usiku kati ya Simba dhidi ya Namungo FC kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

0Comments

Post a Comment