Picha: Lugola kuhojiwa leo, hivi ndivyo alivyotinga TAKUKURU
Friday, January 31, 2020
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amewasili Makao Makuu ya Ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa.



0Comments
Post a Comment